LISU ATANGAZA KUMKABILI RAIS SAMIA UCHAGUZI MKUU/AMSAFISHIA NJIA MBOWE NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 110

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Месяц назад +3

    Mmemuona Huyo.Apitapo Wahujumu na Vibaraka na Vikaragosi Udondoka Wenyewe.Aimarishiwe Ulinzi Mara Mabilionni Shetani Alali Usiku kucha Upanga Uovu Wake Mungu . Awarinde Wote Wenye Nia njema na Taifa letu.Tunasali kwa Ajiri ya Taifa..❤

  • @cheekszebedayo9340
    @cheekszebedayo9340 Месяц назад +6

    Hongera sna lisu😅

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 Месяц назад +12

    Amefika umwanasheliya bola lissu kamanda

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Месяц назад +5

    Hongera sana kamanda lissu kurudi salama

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Месяц назад +5

    Welcome back home kamanda lissu

  • @benardkinde8496
    @benardkinde8496 Месяц назад +7

    Kalibu tena mheshimiwa

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Месяц назад +4

    Karibu tena nyumbani kiongozi

  • @user-vz4xv7lg3x
    @user-vz4xv7lg3x Месяц назад +1

    Nmefurahi sana kukuona Makam M/Kiti...karibu tena mkuu

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 Месяц назад +3

    Ka umri kamesogea brother but never give up

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x Месяц назад

    Kaka Lissu
    Nina Imani nawe
    Hujawahi kutuangushe

  • @BIGCHENDREADLOCKS
    @BIGCHENDREADLOCKS Месяц назад +4

    Kalibu saana mkuu wa inchi

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Месяц назад +1

    Karibu Sana kamanda wetu ✌️✌️✌️✌️

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Месяц назад +1

    Na Mungu atakushindia

  • @user-jt5we5hg4v
    @user-jt5we5hg4v Месяц назад +5

    Oyooo mwamba karudi

  • @FashoKibona
    @FashoKibona Месяц назад +4

    Mwamba umenena wambie,pamoja tunaweza.

  • @lonyorilaizer2649
    @lonyorilaizer2649 Месяц назад +1

    KARIBU TENA LISSU YOUR ALWAYS THE POLITICAL ROLE MODAL OF ALL TIME

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 Месяц назад +1

    Msigwa kwisha! Kwisha kabisa!, bora angenyamaza tu, angestaafu vizuri

  • @LeitoSanga
    @LeitoSanga 28 дней назад

    Big up

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Месяц назад +1

    Kamanda karudi . Kazi iendelee Karibu sana kamanda Lisu.

  • @abdullahiahmed4200
    @abdullahiahmed4200 Месяц назад +1

    Ingelikuwa vizuri waandishi.mngewahoji na ccm inapotokea jambo kama hili la Nape na makamba

  • @starlily07
    @starlily07 Месяц назад +5

    Mwamba huyu hapa 😀 tetenteeee😂

    • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
      @yosephatMasanyiwa-oh1rl Месяц назад

      Nimeipenda hiyo tetentee. Haaaa😀😀😀😀 tetenteee. Mwamba. Lissu ni mboga tubaki kupika ugali tu.

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Месяц назад +1

    Kiukweli mh. Lisu namkubali kuliko, huyu mh. Lisu ni Lulu ya hii nchi mh. Lisu nitakupigia kura yangu.

  • @SichivulaGevasi
    @SichivulaGevasi Месяц назад +3

    Safisana lisu

  • @evodirudo4813
    @evodirudo4813 Месяц назад +1

    Tulikuwa tumesha kumiss Mr lisu Kwan kumepowa

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 Месяц назад

    Lissu nimupango wamungu kwahiyo sisiraia tuunge juhudi zahuyu Malaika watz eemungu tusaidiye utujariye umakini ktk nchihii Inaenda kienyeji kienyeji

  • @ChandeRema
    @ChandeRema Месяц назад

    Uchaguzi TLS

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад +3

    Chukua maua yako makamu mwenyekiti Cdm, Wajue ushindani wa uchaguzi unahitaji maarifa na kukubalika sio nguvu pekee,lakini ccm wajue bila dhuluma,wizi,na kutumia vyombo vya dola wasingepita hata 2015,2020, na hata sasa hawataishinda CDM digital bila kuiba kura kwa kutumia hila na nguvu ya dola ingawa sio rahisi kwa wakati huu

  • @barnaba3037
    @barnaba3037 Месяц назад +2

    Magufuli tutakukumbuka

  • @BernardUrassa-lq8so
    @BernardUrassa-lq8so Месяц назад +3

    Kura yangu kwako

  • @FratteMlay
    @FratteMlay Месяц назад +4

    Karb mwamba

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Месяц назад +1

    Mie ccm lkn kura yangu nitampa Lisu

  • @orestsanga6294
    @orestsanga6294 Месяц назад +1

    Nimeyapenda majibu yako

  • @ndingolivin-qy6xk
    @ndingolivin-qy6xk Месяц назад

    Karibu tena nyumbani

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o Месяц назад +1

    Tundulis Na mwabukusi kuna Tija kubwa sana ya kuungana kuongoza Hili jahazi

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Месяц назад +2

    Au mwandishi anataka ugombane na Mbowe😂

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 Месяц назад +2

    Hujaongea ukweli. Ikiwa mwanachama alalamika kuhusu uendeshaji wa chama kwamba hakuna uwazi, unawezaje kutuaminisha kuwa ni chama cha demokrasia. Hebu mtusomee mali za chama na kwanini mnamwekiti wa kudumu

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 Месяц назад +1

      Ww ndo huelewi Msigwa ni msaliti ulitegemea aseme mazuri ya chama yaani mke ametoroshwa na mme mwingne unategemea amseme mme wa mwanzo vzr tumia akili mali za ccm nani anazihoji mbona Ndugai alihoji mikopo akaporwa usipika hilo hamlioni

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Месяц назад

      ​@@josephmantago2837 vichwa vingine vigumu kuelewa kaka ata ukimuambia mkewe na myoa Mimi atakataa acha kabisaaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад +2

    👊👍✌️.

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Месяц назад +1

    Hii y msigwa, mbona akina Makamba,na Nape wa mepigwa chini hilo huoni

  • @omaryidd4373
    @omaryidd4373 Месяц назад +1

    Lisu hujawah niangusha unajibu hoja vizuri mno

  • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
    @yosephatMasanyiwa-oh1rl Месяц назад

    Tulijihisi kama yatima. Karibu baba.

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Месяц назад +2

    Kumekuchaaa

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 Месяц назад +3

    Namkubali huyu kamanda sana

  • @petermsigwa527
    @petermsigwa527 Месяц назад +2

    Tuhuma ni nzito lazima zijibiwe

  • @tzonespices9734
    @tzonespices9734 Месяц назад +3

    Amerudi

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Месяц назад +2

    FANYENI UCHAGUZI WA AMANI HATUTAKI VURUGU.

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Месяц назад

      Tangu lini tuna uchaguzi wa Amani Tanzania wakati watoto wetu wanaibwa na kuchinjwa 😢😢

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Месяц назад +1

    Simama Imara .kata ngebe za Vikaragosi kwa akina Msigwa.Utajuta Kusariti Umma.Tupo pamoja Na Wapiganiao Haki, DaimaHaki Usimama kwa Wapiganiao.Haki .Siasa Safi Na Uongozi Bora. Ardhi. isiyoporwa. Na kurinda Urithi wa Watanzania.Karibu Uwanja Wa Mapambano.Umkhoto. We Sizwe..Pemberi ne Jongwe..

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Месяц назад +1

    Wakiiba hukum ya wezi sisi wanainchi tutaifanyia kazi maana hata bibilia inazungumza mshahara wa dhambi ni mauti Kwahiyo endapo mauti yatawakuta wezi wa kura hatunadhambi

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese Месяц назад +1

    Rais watu Tundu lisu wewe nirais ushashinda 2015na2025 uhakika babu

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Месяц назад

    Mdanganyeni tu

  • @GiftyJackson-k3v
    @GiftyJackson-k3v Месяц назад +3

    Mwamba amerudi

  • @user-nd4tq6nd8s
    @user-nd4tq6nd8s Месяц назад +1

    Tuko pamoja

  • @MwinyiShomar
    @MwinyiShomar Месяц назад

    Amna upinzani wote pasua kichwa

  • @zhaozlyoung
    @zhaozlyoung Месяц назад +3

    Mwambaaaaa

  • @Nicolasmosereta
    @Nicolasmosereta Месяц назад

    Kiboko yao karudi

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 Месяц назад

    Pipooooz

  • @meryamabdullah2081
    @meryamabdullah2081 Месяц назад +1

    Huyu lisu aliondoka lin 😅

    • @f.a6043
      @f.a6043 Месяц назад

      🐸👈🏼🤣

  • @naftaliwilliam514
    @naftaliwilliam514 Месяц назад +1

    Punguza kulalamika

  • @ezekieliPalaleti
    @ezekieliPalaleti Месяц назад +2

    👊✌️🫶🫶🫶🫶❤

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Месяц назад

    Msigwa ndio asiseme kabisa, Anamadeni makubwa saana ambayomtetezi ni ccm

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 Месяц назад +1

    Amani ni kitu cha muhimu cha muhimu akivunjiki

    • @ezekielkiduge8730
      @ezekielkiduge8730 Месяц назад +2

      Tunahitaji amani inayotokana na utendwaji wa haki sio amani ya hofu au uoga na vitisho

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 Месяц назад +1

    Hatutaki fujo tunataka amani tu! Kila mwaka mnaibiwa nyie tu jamani! Mwageni sera tuwasikie tubasilike!

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai Месяц назад +1

      Kakojoe ulale

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Месяц назад +1

      Umemsikia Nape au unaongea tu kama vike masikio yako yako deaf(y)!?

    • @barakabusima
      @barakabusima Месяц назад +1

      Utakuwa umekatwa wewe siyo mzima😂

    • @AyoubAbdullrahmanAmir
      @AyoubAbdullrahmanAmir Месяц назад

      ​@@festokemibala5832😂😂😂😂🎉

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Месяц назад

      @@barakabusima Mdomo Mali yako! Sikupangii cha kusema Ongeza sauti!!

  • @iddyekanda6456
    @iddyekanda6456 Месяц назад

    Hakuna upinzani wa kuitoa CCM kwa sasa

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Месяц назад

    Anakaa wapi?

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Месяц назад

    uoga utashindwa vipi na mam

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Месяц назад

    Alafu anawatuhumu viongozi wa serikali wakiumwa wanaenda nje kutibiwa
    Lissu ameumwa ameenda kujitibu
    Hivyo kuweni makini uongo wa LISSU

    • @donaldmaziku7915
      @donaldmaziku7915 Месяц назад +2

      uchawa utakushinda tu

    • @FMAutoElectrical
      @FMAutoElectrical Месяц назад +1

      Wewe ni mtumzima najua unawatu wanakutegemeya kama baba jaribu kuwa kama baba usiwe kama mtoto tokalini lisu alitibiwa Tanzania? Baada ya kupigwa lisasi?

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Месяц назад

      Mamako amegharamia matibabu yake wewe choko la kizmkazi

    • @isackphilipo9870
      @isackphilipo9870 Месяц назад

      Kwani katibiwa kwa gharama za mamaako au ya sisiem

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Месяц назад

    Nilisema mie
    Mnamchangia pesa lissu hanunui gari kama alivyosema analikarabsti
    Pesa mliochanga ameenda kulipia ada wanawe

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai Месяц назад +1

      Kakuliza Nani wewe kilaza mkubwa

    • @PaulKiwese
      @PaulKiwese Месяц назад +1

      Acha kusema bila kufikiria

    • @levissanga8867
      @levissanga8867 Месяц назад +1

      Acha ujinga nani kakuuliza hayo. Thibitisha usemayo. Acha mambo ya.hovyo

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 Месяц назад

      We ulichangia shingapi

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 Месяц назад

    Llllllllllllllllĺphaki na amani zinahusiana Zaburi85:10 NI UKWELI hivyo ukiongea amani ongea na haki pia

  • @user-cw4jr1jz4x
    @user-cw4jr1jz4x Месяц назад +1

    kaka lisu mm nakuamini

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Месяц назад

    Pamoja na wizi wa CCM,nyiye Chadema mmejiandaaje?

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Месяц назад

      @@ChristerKoku Heche arekebishe hoja ya elimu. Anasema vijana wajifunze kilimo, ila wasifundishwe panzi ana miguu mingapi. Ukweli panzi anakula mazao, na usambaza magonjwa kwenye mimea.

    • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
      @yosephatMasanyiwa-oh1rl Месяц назад

      Tumejiandaa kukuoa

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Месяц назад

    FANYEN MFANYAVYO ILA MSITUHALIBIE AMAN KWA SABABU YA NJAA ZENU KUWEN MAKIN

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Месяц назад +2

      Kazi ya utawala duniani ni kuhakikisha watu wake wameshiba. Kwa hiyo unakili ushaifu.

    • @BIGCHENDREADLOCKS
      @BIGCHENDREADLOCKS Месяц назад +2

      Da wabongo hawana ubongo 😂😂😂

    • @barakalameck7342
      @barakalameck7342 Месяц назад

      Amani inakusaidia nini kwani wewe au umekaririshwa tu hilo neno mkubwa ebu tupe faida ya amani tukianza na wewe imekunufaisha nini toka uwe na amani ni sawali tu lakini ukiweza kujibu sawa?​@@GodfreyOsward

    • @josephwilliammnyune5464
      @josephwilliammnyune5464 Месяц назад +1

      Ni vizuri kuwa mpo wenzetu mlioshiba.

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 Месяц назад

    Kaja wajinga watanyamaza ma ccm

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b Месяц назад

    Huyu mkudaa tu

  • @arkammuhiddin9054
    @arkammuhiddin9054 Месяц назад

    Mama 5 tena

  • @cheekszebedayo9340
    @cheekszebedayo9340 Месяц назад +5

    Hongera sna lisu😅

  • @cheekszebedayo9340
    @cheekszebedayo9340 Месяц назад +4

    Hongera sna lisu😅

  • @cheekszebedayo9340
    @cheekszebedayo9340 Месяц назад +7

    Hongera sna lisu😅